Hamna kitu hapo.., sababu angekuwa anakerwa angevaa nguo za kujistiri.. Anataka kuuza gazeti tu., kuna watu tunawajua ambao wameumbika kushinda yeye ila wanajistiri kuepuka kero., agness. Anavaa nguo za uchi na zinazombana tena zenye material nyepesi na kila picha anayopiga lazima ageuzie makalio kwenye camera..,anapenda na anajitangaza