Agness masogange anaswa live na bwana wa jack

conecting dots jack clif.........kakamatwa na madawa ........agnes masogange kakamatwa na madawa.........agnes na jack..........wamezoeana na jux...........jux ndo pusher
Wote watu wa maunga hao mbona inajulikana
 
Hakuna cha ajabu hapo. Punda nao wanavimitandao vyao mitaani!
 

Wewe jamaa anuniachaga hoi.. Eti wamenaswa, mara wamebambwa.. Nanani??? Mbona hiyo picha walijipanga kabisa kupiga?? You are sooooo once upon a time..
 
Wewe jamaa anuniachaga hoi.. Eti wamenaswa, mara wamebambwa.. Nanani??? Mbona hiyo picha walijipanga kabisa kupiga?? You are sooooo once upon a time..

Acha ufidhuli...waliponaswa si Masogange alifanya kuhojiwa kwa muda...amejitetea hakuna chochote kinachoendelea kati yao...huyo mnasuaji wataka kuniambia hakuweza kupiga picha wakiwa pamoja...wamepiga picha pamoja kutoa fikra kuwa wana uhusiano...upo?
 
halafu haka ka jux huwa sikaelewagi kabisa. ni ka mwanamuziki.mwanamitindo au muuza sembe
 

hivi haya yanakusaidia nini?
 
Imekaa kimbea mbea lakini si wee ni mmoja wao uliyeongeza idadi ya kuisoma,,,kama kichwa kilikuwa chaongea kiumbea ungeliipuuza kutoka mwanzo na si kuisoma halafu kuchangia

usidhani sifa jisikie aibu bas ishu za kike hizi unazishabikia ili iweje? mnatudhalilisha vidume wenzanu
CC: warumi Salamander
 
Last edited by a moderator:
Pesa inatafutwa dogo,endelea kulala uolewe,kwanza mada ni ya uwongo hivi picha ya kunaswa ndo unaweka na pozi.Nanyie wachangiaji mada nahisi vichwa vyenu sifuri msikulupukie mimada ya uwongo uwongo mtu kanaswa na cameta anapiga na pozi.
 
Pesa inatafutwa dogo,endelea kulala uolewe,kwanza mada ni ya uwongo hivi picha ya kunaswa ndo unaweka na pozi.Nanyie wachangiaji mada nahisi vichwa vyenu sifuri msikulupukie mimada ya uwongo uwongo mtu kanaswa na cameta anapiga na pozi.

na wewe kichwa chako ni sifuri kwa7b ume comment..
kwanza inaelekea wewe ndio jux..
 
Mm jux anisaidie nn, kama anauza si yy na maisha yke swala ni mada za uwongo uwongo ndo hatutak
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…