Agosti 8, 2024 wamshauri tu apaki basi dhidi ya Yanga

Agosti 8, 2024 wamshauri tu apaki basi dhidi ya Yanga

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Ukiwaangalia Simba unaona kabisa hawana muunganiko (chemistry) ya kujuana vyema uwanjani.

Mutale na Mukwala wanafanya mikimbio kuelekea pembeni ya goli asilimia 70 ya mchezo.

Hauwezi ukacheza na underdog ambapo 50% ya mchezo unashindwa kusajili shoot on target.

Timu inategemea sana individual brilliance kuzalisha matokeo. Kocha Fadlu ana homework ya kufanya kabla hajakutana na wahuni hapo tarehe 8.
 
Waleteni wale wazee uwanjani tare 8..lazima watafungwa dazen 12...kwa mpira wa leo hakuna cha chama,azizi ki,wala pacom..kumbukeni hii APR juzi kwenye kombe la mapinduzi imeifunga yanga 3
 
Waleteni wale wazee uwanjani tare 8..lazima watafungwa dazen 12...kwa mpira wa leo hakuna cha chama,azizi ki,wala pacom..kumbukeni hii APR juzi kwenye kombe la mapinduzi imeifunga yanga 3
🤣🤣🤣🤣🤣 Duuuh! Simba Kuna mashabiki wa ajabu sana,,,kwaiyo APR hii inaweza ikasimama mbele ya yanga? Mungu awasaidie kwakweli
 
IMG-20240729-WA0297.jpg
 
Mleta mada usiwasanue
Mbwa huwa anapigiwa kwenye eneo la tukio
 
Hili jambo lilitarajiwa kutokea. Muunganiko wa timu, hakuna. Hata magoli yote mawili yaliyofungwa, zilikuwa ni juhudi binafsi za wachezaji. All in all, ngoja tusubiri tuone.
 
Uto, uto, uto nimewaita mara tatu,, kaizer chief sio kipimo kwani kwa hapa South africa hawana tofauti na mashujaa ya kigoma, so kuwafunga wale jamaa msimbive kichwa, tarehe 8 bora msije uwanjani mana kitakachowakuta hamtosahau,,,
 
Ushauri mzuri sana ila waache usiwasanue 😀 kama kikosi ndo hichi cha leo aise waache waje mbaya zaidi wafunguke😀 itakuwa msiba mzito sana
 
Back
Top Bottom