🤣🤣🤣🤣🤣 Duuuh! Simba Kuna mashabiki wa ajabu sana,,,kwaiyo APR hii inaweza ikasimama mbele ya yanga? Mungu awasaidie kwakweliWaleteni wale wazee uwanjani tare 8..lazima watafungwa dazen 12...kwa mpira wa leo hakuna cha chama,azizi ki,wala pacom..kumbukeni hii APR juzi kwenye kombe la mapinduzi imeifunga yanga 3
1-5Hii timu yetu ya uto tuna maneno meeeengiii ila ufanisi ndiyo kama hivi hadi tununue mechi ama wachezaji kubeba ubingwa.
Asante kwa taarifaWaleteni wale wazee uwanjani tare 8..lazima watafungwa dazen 12...kwa mpira wa leo hakuna cha chama,azizi ki,wala pacom..kumbukeni hii APR juzi kwenye kombe la mapinduzi imeifunga yanga 3
Hiyo hangaika nayo wewe, tunachojua ubaya ubwela.(chemistry)
Zamani sana diamond bado anasoma sekondari ya kata
Hii timu yetu ya uto tuna maneno meeeengiii ila ufanisi ndiyo kama hivi hadi tununue mechi ama wachezaji kubeba ubingwa.