shoka mwitu
Member
- Sep 30, 2013
- 7
- 0
Hello,
My name is Sitoni, I am very interested in establishing grain storage business. I really do not have much experience in agricultural storage business. I would be so happy if you can tell me any short programme I can attend either in Tanzania or Kenya that can inform me more on storage facilities and grains preservation. I am, at the moment, live in Arusha but will like to start my agri-storage business in Arusha or Babati, Tanzania. Thanks
vipi kuhusu hii issue ya serikali kufuta msamaha wa kodi kwa mchele toka nje,kuna uwezekano bei ya mchele ikawa juu miezi michache ijayo na hivyo kuwa na faida iwapo naamua kustock sasa?unajua kwamba biashara ya mazao ni ya msimu? unajua pia kwamba misimu inabadilika? unajua kwamba kuna mwaka wakulima wana fail kupata mazao ya kutosha kiasi cha wao kushindwa kuwa na surplus ya kuuza? hiyo babati unayoizungumzia ni wapi.... magugu,dareda, galapo, mamire,bonga au kiru?? kama ni huko basi nikufahamishe kuwa ni bora ukafanya agro processing kuliko agro storage maana uwezekano wa wewe kupiga mweleka ni mkubwa kwa otpion hiyo uliyoamua kuanzan nayo. ni pm nikupe details