Agricultural & Agribusines vs Rural Development and Planning?

Joined
Oct 2, 2013
Posts
83
Reaction score
14
Wadau!

Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa taifa.

Tafadhali naombeni msaada wenu kwa wale waliopitia course hizo na wenye utaalamu wa Agricultural economics &Agribusiness na Rural Development &Planning, ipi inauzika katika soko la ajira?

Nitashukru kwa msaada wenu..! Nahitaji kuingia chuo mwaka huu.
 
Rural Development Planning kwa soko la sasa la ajira kwa nchi yetu ni shiidaaaa kwa kweli...Agribusiness bado ina soko sana na Mtu aliesoma Agribusiness anafanya kazi za Mtu aliesoma Mipango bila wasiwasi unlike the opposite
 
kwanza jina tuu linatambulisha maudhui na jibu la swali lako ndugu, maana Huwezi kufanya biashara kama huna uhakika wa soko. SO Agribussiness ni the best, ina soko sana na hata kwny vyuo vinavyotoa iyo course pia ushindani ni mkubwa sana kuliko rural.
Hapa Tanzania kwasasa mi nafahamu ni Sokoine university ndio inayotoa izo course. tembelea Welcome to Sokoine University of Agriculture.

ahsante
 

Asante sana mkuu.,.agricultural economics inatofauti na agribusiness? huwa vipo combined?
 
Rural Development Planning kwa soko la sasa la ajira kwa nchi yetu ni shiidaaaa kwa kweli...Agribusiness bado ina soko sana na Mtu aliesoma Agribusiness anafanya kazi za Mtu aliesoma Mipango bila wasiwasi unlike the opposite

Nimekupata asante kwa mchango wako mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…