sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Nimefurahi sana jana nilikutana na dem mpya kutoka jiji la Makonda, du kila ninapo ongea eti ananiambia kutunza kidoti ni gharama sana maana kinaitaji kuwa maintained, du sasa sisi kwetu icho kidoti ni Enshudo, ni ugonjwa unaotokana na kutemewa mate na mtu aliyekaribu na wee. yale mate yakikuingia usoni vizur ndo unapata enshundo. sasa eti mjini waschana ndo wnalingia?