KERO Ahadi hewa za viongozi kuhusu ujenzi wa barabara ya Nguvukazi - Yongwe

KERO Ahadi hewa za viongozi kuhusu ujenzi wa barabara ya Nguvukazi - Yongwe

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
20240523_055501.jpg
20240523_055842.jpg
Hii ni barabara ya Nguvu Kazi -Yongwe ambayo imekuwa ni kero kubwa kwa wakazi na watumiaji wa barabara hiyo.

Pamoja na ahadi kemkem za viongozi mbalimbali tangu mwaka 2020 hakuna lililotekelezwa zaidi ya ahadi na tathmini zisizokwisha.

Tuna wasiwasi kwamba barabara hii imekuwa mtaji kwa viongozi kwa sababu pamoja na mtaro kujengwa umeshaharibika, lakini pia hata greda linalopitishwa mara kwa mara huwa linaishia kuchimba sehemu zisizo na changamoti na kuacha sehemu zenye changamoto kubaki kama zilivyo.

Kwa kweli barabara hii imekuwa chanzo cha umasikini kwa wakazi wake.
 
Ukanda wote wa Chanika kuanzia kinyamwezi na kwenda hadi mvuti hizo barabara za ndani ni shida sana
 
Back
Top Bottom