Ahadi hii ya Magufuli ni suluhisho la ajira kwa vijana!

Ahadi hii ya Magufuli ni suluhisho la ajira kwa vijana!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Nimemsikia mgombea wa CCM akitoa ahadi ya kuwawezesha vijana hasa wanaomaliza vyuo vikuu kupitia mikopo au ruzuku ili waweze kujiajiri.

Hii ni sera ya muhimu sana katika kutatua tatizo la ajira kwa vijana wetu wanaomaliza vyuo na kutembea na bahasha barabarani.

Nikikumbisha tu kulikuwa na yale yaliyoitwa mabilioni ya JK. Ambayo yalienda kwa watu wasio na ujuzi na yakaishia kuneemesha mtu mmoja mmoja.

Hivyo hayakuleta tija na yalishindwa kuzalisha ajira.

Vijana wasomi wakipewa mkopo wanaweza wakajiajiria na kuajiri.

Nashauri mikopo hii ianzie katika eneo la kilimo na mambo ya teknolojia ya habari(IT).
 
uwezo wako wa kupambanua mambo ni hafifu sana! je wamewapa elimu ya kujiajiri?
 
Wewe magufuli amesema atafuata nyayo za waliomtangulia,angalia kama waliomtangulia walifanya kama ulivyo andika wewe
 
Nimemsikia mgombea wa CCM akitoa ahadi ya kuwawezesha vijana hasa wanaomaliza vyuo vikuu kupitia mikopo au ruzuku ili waweze kujiajiri.

Hii ni sera ya muhimu sana katika kutatua tatizo la ajira kwa vijana wetu wanaomaliza vyuo na kutembea na bahasha barabarani.

Nikikumbisha tu kulikuwa na yale yaliyoitwa mabilioni ya JK. Ambayo yalienda kwa watu wasio na ujuzi na yakaishia kuneemesha mtu mmoja mmoja.

Hivyo hayakuleta tija na yalishindwa kuzalisha ajira.

Vijana wasomi wakipewa mkopo wanaweza wakajiajiria na kuajiri.

Nashauri mikopo hii ianzie katika eneo la kilimo na mambo ya teknolojia ya habari(IT).
Miaka yooote walikua wapi??? Na wewe unaamini kabisa??

Ama kweli wewe ni jingalao
 
Last edited by a moderator:
mwambie apunguze ahadi atakuja juta?kasema elimu bure mpk iv ila pinda kasema kuchangia elim halikwepeki.?kasema viwannda kigwangala kasema ccm hana mpngo wa kujenga wala kfufua zaid kuboresha uwekezaji je yy ilan ipi anatumia?
 
Miaka yooote walikua wapi??? Na wewe unaamini kabisa??

Ama kweli wewe ni jingalao

Miaka yoote mfumo wa serikali ndio uliokuwa unategemewa kwa ajira baadae taasisi binafsi sasa ni wazi lazima tufikirie nje ya boksi kwa kutengeneza kizazi cha wanaotengeneza ajira badala kutegemea kuajiriwa...vijana hao wapo lakini hakuna mfumo rasmi wa kuwapa mitaji.
 
Last edited by a moderator:
Wewe magufuli amesema atafuata nyayo za waliomtangulia,angalia kama waliomtangulia walifanya kama ulivyo andika wewe

Kuhusu amani ulitaka asofuate nyayo za waliomtangulia?

Kuhusu afya?elimu? N.k

Nchi inaongozwa na mipango ya mda mrefu yenye kuenenda na matakwa ya kidunia.

Tatizo la chadema mnadhani nchi itaongozwa kama saccoss ya mtei.
 
bado ni sera mujarabu inayotakiwa kufanyiwa kazi
 
Back
Top Bottom