Wakati Suprem Court ikimthibitisha Uhuru Kenyatta kuwa Rais halali wa Kenya, imebaki utekelezaji wa kuwapa LAPTOP watoto wa Darasa la 1 kila mwaka mpya wa masomo, ninajiuliza hivi na utajiri wa TZ hili haliwezekani? au ndo tumekalia kufikiria kununua "BAJAJ AMBULANCE"? ninaamini TZ haijapata Waziri makini wa Elimu maana pale naona wote lao moja si Kaa Wambwa au MU lugo wote wamekaa wizara sio bora wangepelekwa Mifugo & Uvuvi au Mazingira amabako unabwabwaja tu na mambo yanaenda si pale Wizara ya Elimu.