Ahadi za Rais Samia siku zote ni za matumaini, Katiba Mpya inakuja

Ahadi za Rais Samia siku zote ni za matumaini, Katiba Mpya inakuja

Pain killer

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
14,361
Reaction score
21,680
Habari wakuu

Mimi binafsi nimekuwa nikipenda namna mh Rais anaongoza nchi yetu, ana maneno ya busara ,hekima na matumaini ,ana huruma mpaka akitoa ahadi huoni namna ya kumpinga wala kuwa na wasiwasi nae kabisa .

Kama mnavyojua kina mama zetu nyumbani wakiwa wanatoka nyumbani, akiahidi mtoto kuwa nikirudi nitakuleta pipi ,huwa hakoseagi anatekeleza ahadi yake kwa namna yeyote ile ,hii roho wanayo mama zetu wa Tanzania ,tofauti kabisa na sisi wanaume ..

Napenda tu kumtoa wasiwasi Mbowe kuwa,mama yetu ana kauli ya kutekeleza ,anaonekana sio mtu wa kutoa ahadi hewa ,uzuri mama yetu kakulia mazingira ya dini na imani ,ana hofu ya Mungu kweli kweli ,..!

Mimi ahadi zake huwa napigia tiki ,ni suala la muda.

Mbowe tulia ,hii nchi inaenda muelekeo sahihi kabisa ,inaongozwa na mtu mnyenyekevu ,anayejua dhambi ya kusema UONGO.

JamiiForums-1644210691.jpg
 
Habari wakuu

Mimi binafsi nimekuwa nikipenda namna mh Rais anaongoza nchi yetu, ana maneno ya busara ,hekima na matumaini ,ana huruma mpaka akitoa ahadi huoni namna ya kumpinga wala kuwa na wasiwasi nae kabisa .

Kama mnavyojua kina mama zetu nyumbani wakiwa wanatoka nyumbani, akiahidi mtoto kuwa nikirudi nitakuleta pipi ,huwa hakoseagi anatekeleza ahadi yake kwa namna yeyote ile ,hii roho wanayo mama zetu wa Tanzania ,tofauti kabisa na sisi wanaume ..

Napenda tu kumtoa wasiwasi Mbowe kuwa,mama yetu ana kauli ya kutekeleza ,anaonekana sio mtu wa kutoa ahadi hewa ,uzuri mama yetu kakulia mazingira ya dini na imani ,ana hofu ya Mungu kweli kweli ,..!

Mimi ahadi zake huwa napigia tiki ,ni suala la muda.

Mbowe tulia ,hii nchi inaenda muelekeo sahihi kabisa ,inaongozwa na mtu mnyenyekevu ,anayejua dhambi ya kusema UONGO.

View attachment 1834586
Atatoa vipi haki ambayo si yake kutoa?
 
Ahsante mkuu kwa kutukumbusha wengi pamoja na kumkumbusha mbowe juu ya suala hili.

Natoa rai tu kwamba kila jambo lina muda wake na hili pia muda wake utafika.
 
Vita ya Lake zone vs North zone imekwisha, sasa ni zamu ya North zone Vs Coastal zone.

Wa Victoria wanapumua huku wanakula pesa yao ya dhahabu na Sato.
 
Mzanzibari hataki mambo mgumu ya kumpasua kichwa, yeye anataka urojo urojo wa makunduchi.
 
Mimi nashauri mchakato wa katiba mpya usisubiri mashinikizo ama vurugu za wananchi. Mwalimu Nyerere alishauri CCM nchi iingie kwenye mfumo wa vyama vingi kabla haijachukiwa sana na Wananchi. Hoja zinazotolewa kuahirisha mchakato wa katiba mpya ni nyepesi kuliko umuhimu wa mchakato wenyewe.
 
Na nyie ccm Kama mmeshindwa ongonza nchi ,mpaka mnaogopa katiba mpya , achia madaraka,
Nawe unadai Katiba? Mapungufu yake ni yapi? Taja Ibara zenye mapingufu na utoe maelezo kuhusu mapungufu hayo pia utoe mapendezo yako na sababu. Kushindwa kufanya hivyo utakuwa unakidhi sifa za UNYUMBU
 
Nafikili akili yako , ipo likizo Sana , ebu jaribu tekeleza msemo wa aliekua Dc wa Iringa , akili zitaludi,
Nawe unadai Katiba? Mapungufu yake ni yapi? Taja Ibara zenye mapingufu na utoe maelezo kuhusu mapungufu hayo pia utoe mapendezo yako na sababu. Kushindwa kufanya hivyo utakuwa unakidhi sifa za UNYUMBU
 
Nafikili akili yako , ipo likizo Sana , ebu jaribu tekeleza msemo wa aliekua Dc wa Iringa , akili zitaludi,
Swali langu kwako lilihitaji kujua mapungufu ya Katiba inayotumika kwa sasa, kwa ufahamu na uelewa wako, ili mimi na WanaJf tufaidike na kuunga mkono madai ya Katiba mpya. Wewe unaleta porojo za kijiweni, du! Au hicho ndio kiwango chako cha kujadili na kutoa hoja[emoji848]
 
Swali langu kwako lilihitaji kujua mapungufu ya Katiba inayotumika kwa sasa, kwa ufahamu na uelewa wako, ili mimi na WanaJf tufaidike na kuunga mkono madai ya Katiba mpya. Wewe unaleta porojo za kijiweni, du! Au hicho ndio kiwango chako cha kujadili na kutoa hoja[emoji848]
Mapungufu tume ya Warioba , ilizunguka nchi , tulisha toa maoni , Sasa wewe unataka maoni ili uje na rasmu nyingine kutoka chumbani kwako na Kama nani? Ndo maana nikasema akili yako ipo likizo Sana, may be ukitekeleza msemo wa aliekua Dc wa Iringa akili italudi ,
 
Mimi nashauri mchakato wa katiba mpya usisubiri mashinikizo ama vurugu za wananchi. Mwalimu Nyerere alishauri CCM nchi iingie kwenye mfumo wa vyama vingi kabla haijachukiwa sana na Wananchi. Hoja zinazotolewa kuahirisha mchakato wa katiba mpya ni nyepesi kuliko umuhimu wa mchakato wenyewe.
Usimuamini sana mwalimu Nyerere. Yeye ndiye aliyefuta mfumo wa vyama vingi. Lakini akafanya ujanja ili akumbukwe kama vile yeye ndiye aliyeleta mfumo wa vyama vingi.
 
Nawe unadai Katiba? Mapungufu yake ni yapi? Taja Ibara zenye mapingufu na utoe maelezo kuhusu mapungufu hayo pia utoe mapendezo yako na sababu. Kushindwa kufanya hivyo utakuwa unakidhi sifa za UNYUMBU

Kila kitu kiko kwenye rasimu ya Warioba, usitake kurudisha watu nyuma wakati watu wako kwenye hatua ya utekelezaji.
 
Back
Top Bottom