Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wakati tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu ambako pia wananchi watapata nafasi ya kuchagua wabunge watakaowawakilisha kwa miaka mingine 5, tunashashuhudia viongozi wakianza kutangaza nia na kuahidi mabadiliko wakipata nafasi.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Uzi huu utakuwa maalum kwaajili ya ahadi zanazotolewa na watiania kwenye nafasi ya ubunge, wakati wa utekelezaji (endapo watachaguliwa na wananchi) itakuwa rahisi kuona kama ametekeleza aliyoahidi au lah.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Uzi huu utakuwa maalum kwaajili ya ahadi zanazotolewa na watiania kwenye nafasi ya ubunge, wakati wa utekelezaji (endapo watachaguliwa na wananchi) itakuwa rahisi kuona kama ametekeleza aliyoahidi au lah.