klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
khaaaa! dah! kambbbbarage nyerere hii ni kubwa kuliko.yaani of all the men...usiwe na hofu na Uporoto....hata wakilala siku tatu hakuna lolote....namfahamu sana!
Hivi eee kwa hiyo ile ahadi ya kanisani nayo tuiweke kwenye group gani kati ya hayo uliyoyataja?
khaaaa! dah! kambbbbarage nyerere hii ni kubwa kuliko.
Agreement hivi si huwa ina consideration (price) in it, hapa consideration inakuwa nini?...ni agreement mpendwa.
khaaaa! mimi unaendelea kuwasibitishia JF utakatifu wangu tu. Mimi na uzinifu hata spelling zake nakosea nikiandika, ni memba pekee ambae nimekaa JF miaka 2 na sina rekodi ya kuPM, invizibo atasibitisha hili.mna tofauti?:whoo:
khaaaa! mimi unaendelea kuwasibitishia JF utakatifu wangu tu. Mimi na uzinifu hata spelling zake nakosea nikiandika, ni memba pekee ambae nimekaa JF miaka 2 na sina rekodi ya kuPM, invizibo atasibitisha hili.
Unajihami sana mwenye evidence huwa anatulia then anasubiri aitwe tu na hakimu anaanza kumwaga mavitu mpaka mleta kesi anaonekana yeye ndie mkosajikhaaaa! mimi unaendelea kuwasibitishia JF utakatifu wangu tu. Mimi na uzinifu hata spelling zake nakosea nikiandika, ni memba pekee ambae nimekaa JF miaka 2 na sina rekodi ya kuPM, invizibo atasibitisha hili.
Hongera sana Kloro....tatizo hutimizi ahadi...u mjanja na mwema sana hapo kwa keyboard ila kwenye suala la kutimiza ahadi na baddhi ya majukumu....sijui niseme...sithemi mimi:whoo:
hehehe Michelle asikusumbue bana ,leo sijampatia hela ya vocha basi kaja na miujiza kuliko ya moses.Unajihami sana mwenye evidence huwa anatulia then anasubiri aitwe tu na hakimu anaanza kumwaga mavitu mpaka mleta kesi anaonekana yeye ndie mkosaji
heheh hapo red ukiona kesho ukilog in JF, server haikubali ujue ufalme wa mbinguni umekasirika na komenti yako.
Poa mamii understood@ Gaga mnachoweka kanisani ni agreement, a mere contract kati ta wapendanao ambayo inaweza vunjika at any time 't'.
But if you wanna take it as an ahadi, you can do it at your own risk/cost.
haya mie simohehehe Michelle asikusumbue bana ,leo sijampatia hela ya vocha basi kaja na miujiza kuliko ya moses.
khaaa! mimi nikikasirika mabenki yote ya bongo yatafungwa bana!duhh,Kloro bwana,yani hiyo ndo adhabu kubwa sana unayoweza toa ukikasirika?
khaaa! mimi nikikasirika mabenki yote ya bongo yatafungwa bana!
kwenye depression?haya mie simo
halaf umeimprove kweli siku hizi, yaani unaandika neno account hata spelling hukosei?naomba ukasirike basi...manake sina hata senti kwenye benki ya bongo...account zote ni za Uswisi....l.o.l:rant:
kwenye depression?
halaf umeimprove kweli siku hizi, yaani unaandika neno account hata spelling hukosei?
khaaa! hiyo hapo red ni jina la movie au?naona pombe zinalupeleka vibaya....njoo nyumbani haraka sitaki ugomvi mimi....haraka,la sivyo utapata fimbo.....:rant: