Ahmed Ally acha kuchukulia poa hili suala la kughairishwa kwa mechi. Mashabiki wa Simba tumetumia gharama zetu kutoka mikoani kuja Dar

Ahmed Ally acha kuchukulia poa hili suala la kughairishwa kwa mechi. Mashabiki wa Simba tumetumia gharama zetu kutoka mikoani kuja Dar

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Habari zenu wadau wa michezo.

Kwa ukweli nimeghadhibika na kauli ya afisa habari wa timu yangu ya SIMBA sc kwa kupost katika mtandao wa Instagram juu ya hii kadhia iliyotokea jana na anaonekana kuchukulia poa tu suala hili bil ya kujali gharama ambazo mashabiki tumezitumia kusafiri kuja Dar. Kulikuwa na sababu gani yenye mashiko iliyopelekea siai tukatae kupeleka timu uwanjani hapo jana?

Halafu unatutangazia tena tulipie viingilio vya sh 10000 na 20000 kwenda kushuhudia mechi ya konbe la CRDB dhidi ya TMA.

Hivi mmetuona sisi mashabiki ni watu wa kupoteza pesa ovyo?
Screenshot_20250309-051228_1.jpg
 
Hela inatafitwa bali heshima inadaiwa. Heshima mûhimu pesa ama hasara mambo madogo
 
Hakuna heshima zaidi ya kuharibu hadhi ya ligi yetu ya NBC
 
Hizo gharama mlizotumia kutoka mikoani kuja kuangalia mechi ni upumbavu wenu tuu, tofauti na wale wanaofaidika moja kwa moja kwa kuangalia hy mechi nyie wengine wote n wapuuzi tuu.
 
Mliosafiri Kutoka Mikoani kuja kuangalia dabi ya K/koo tukutane Magufuri Terminal kuna usafiri wa kwenda Dodoma kwenye ile Hospitali yetu pendwa.

Kipaumbele ni kwamba wale wote waliodunduliza vihela ili kufanikisha safari ya kuja Dar mtapatiwa vitanda mapemA na hamtofungwa kamba.

Kila aliyesikia Tangazo hili Hamtaarifu na mwenzie.
 
Mliosafiri Kutoka Mikoani kuja kuangalia dabi ya K/koo tukutane Magufuri Terminal kuna usafiri wa kwenda Dodoma kwenye ile Hospitali yetu pendwa.

Kipaumbele ni kwamba wale wote waliodunduliza vihela ili kufanikisha safari ya kuja Dar mtapatiwa vitanda mapemA na hamtofungwa kamba.

Kila aliyesikia Tangazo hili Hamtaarifu na mwenzie.
Khaaaaa
 
Back
Top Bottom