Ahmed Ally itisha harambee maalumu kwa ajili ya kununua furniture za club ya Simba

Ahmed Ally itisha harambee maalumu kwa ajili ya kununua furniture za club ya Simba

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Hivi kweli club ya hadhi na kubwa kama Simba ndio yakutumia meza za Bar kwa ajili ya kupokea wageni wakubwa na kufanya vikao? Ahmed Ally sisi Wanasimba tunakuomba uitishe Harambee tuondokane na hii aibu.

FB_IMG_16987864730642726.jpg
 
na nyinyi wambie wafanyakazi wenu waache kula vitumbua vya kwenye mitaro apo jangwani wanakua kama hawalipwi mishahara na hayo machapati sjui makorosho kwenye sahani yawezekana mmenunua apo nje kwenye mitaro mkampa barozi
 
Hivi kweli club ya hadhi na kubwa kama Simba ndio yakutumia meza za Bar kwa ajili ya kupokea wageni wakubwa na kufanya vikao? Ahmed Ally sisi Wanasimba tunakuomba uitishe Harambee tuondokane na hii aibu.
Hata kitendo cha kula chips mayai kwenye sahani ya mfupa ni kuidhalilisha club
 
Back
Top Bottom