Ahmed Ally kama unanisoma hapa kesho hapa Zanzibar nikabidhi Aubin Kramo nimpeleke mafichoni nikamalize kazi

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Aubin Kramo nimemuona mwenyewe leo Zanzibar akiwa jukwaani amekaa anacheki gemu ya Simba vs Singida, Ahmed Ally kama unanisoma hapa, wazee wangu wa Pemba wamenituma wanamtaka Baleke, Phiri, Kramo na Micquisone niende nao mahali ambako napajua mimi, baada ya masaa mawili nitawarudisha wachezaji hawa na hutasikia wameshuka tena viwango wala kuumia, kesho ntakufuata asbh wakati wa mazoezi ya Simba.

Kama mbwai iwe mbwai.
 
Walozi fc πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Fanya hivo tuko nyuma yako
 
Wapemba nyie watoto wa kiislam acheni shirki.
 
Hapo umenena ase
 
Wachawi Fc mpo vizuri eneo hilo.
 
Wamesha check na mganga wa Hussein Tshabalala umewahi sikia lini kaumia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…