Ahmed Ally: Mazungumzo group la watsup la Champions league

Ahmed Ally: Mazungumzo group la watsup la Champions league

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
1717139565087.png

MAZUNGUMZO GROUP LA WATSUP LA CHAMPIONS LEAGUE

Semaji Mamelod : Mnyamaaa 😭😭

Semaji Al Ahly : Pacha naumia sana kwa ajili yako

Semaji Mazembe : Jirani tutakumic sana Champions League

Mimi Mashine : Msijali wanangu narejea punde

Semaji Raja : Ni Mapito tuu hayo Lunyasi mimi miaka miwili sijashiriki michuano ya CAF ndio nimerejea msimu huu

Semaji Mazembe : Ila Familia usihuzunike tumia Shirikisho kujipanga kama nilivyofanya mimi

Semaji Zamalek : Ni kweli, fanya kama mimi nimeshuka Shirikisho nimechukua Kombe sasa najipanga kurudi Champions League

Semaji Mashine : Asanteni sana wana kwa kunitia moyo

Semaji Mamelod : Sema hakuna kitu natamani kama kucheza na wewe Champions League

Wydad, Raja na Ahly: (Wakajibu) Aaah utapenda Kaka kwanza Dar yote inakua nyekundu mji unachangamka na watu wanalipa kiingilio

Semaji Mamelod : Juzi nimeenda Dar mechi ikawa bure kama unaingia msikitini

Semaji Al Ahly : Aaah wale wana force umaarufu

Semaji Mashine : Sasa jamani mimi. Naletf group nampa Admin namba awa add wale wengine

Semaji Al Ahly : Achana nao humu hawaingii Watoto watoto

Semaji Esparance : (Kwa hasira) Usiwalete humuu wakija mie naleft

Semaji Mazembe : Kwanza uta muad nani utamuacha nani timu zina maafisa habari kumi kumii

Semaji Raja : Kwa ufupi hatuwataki

Semaji Petro : Mbona msg nyingi ??

Semaji Mamelod : Tunaongea na mwanetu Mnyama

Semaji Petro: Mnyama Shirikisho lisikunyime usingizi komaa msimu wako mmoja fanya maajabu rudi zako juu tuendelee kupasuana

Semaji Mazembe : Mie mwenyewe nimemwambia hivyo hivyoo, tena mie nilikua unga kinomaa nikafungwa hadi na wakuja

Semaji Zamalek : Ila Shirikisho kuwa makini kuna watu wanajionaga hayo ni mashindano ya Baba yao

Semaji Esparance : Hakuna timu ya kumtisha Mnyama hukoo

Semaji Al Ahly : Wewe Zamelek hujacheza na Mnyama siku nyingi ndio maana unamchukulia poaa

Semaji Al Ahly : Kwa iyo wazee tunakubaliana vipi hao wageni tuwa add au???

Wote : (Kwa hasira) Achana nao hatutaki ushambenga humu yaani sisi tukae kundi moja na watu wana Champions League moja
 
"FARAJA" ni Jambo la Msingi na ina stahili Kwa kila kiumbe chochote kile kilicho na Uhai,,,FARAJA haisahulishi Jambo,,bali inatumika kupooza Jambo katika hali husishi!!
 
Ahmed Ally aache sasa kuwafanya mashabiki wa timu yake kama chapati. Yaani anawageuza na kuwachezea vile apendavyo.
Watu wana hasira timu inashiriki kombe la Luza, halafu yeye anaendeleza tu porojo zake.
Kuna shabiki mmoja wa Simba anaitwa Mchovu huwa anaponda sana majigambo yasiyo na tija ya Ahmed Ally kule youtube
 
Back
Top Bottom