Ahmed Ally msemaji wa Simba, unajua kwanini mashabiki wanaumia?

Ahmed Ally msemaji wa Simba, unajua kwanini mashabiki wanaumia?

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
1. Hawajui kwa nini yanga wana pesa ya usajili na Simba hawana.Hapa majibu yanahitajika

2. Matangazo yaliyojaa kwenye jezi tena maandishi makubwa ya hovyo kutangaza bidhaa za mo ,yanalipiwa bei gani?

3. Wachezaji Okra,Mose Phiri wana tatizo gani kwa nini hawachezi?

4. Je kuna kamati ya usajili makini kweli au ni meshen town?

5. Mo anaonekana ni mlalamishi sana huku sisi tuna uhakika alitoa maelekezo wakatae pesa ya Azam ambayo yanga waliikubali. Kama anakula hasara, si wangekubali udhini wa Azam?

======

Pia soma: Maisha yanaenda kasi, kweli timu ya Simba ni yakuzomewa kutoka Mtwara hadi Dar?
 
(i) Nani kakwambia mashabiki wa Simba wanalalamika?
(ii) Simba haina mchezaji anayeitwa Patrick Phiri,
(iii) Hela za Azam za kazi gani? Mbona hao Azam wenyewe pamoja na izo hela zao wameshindwa kuchukua kombe la ligi au ASFC miaka nenda rudi?

Wewe una mchango gani Kwa Simba? Usikute ni wewe ni wale wanaoitwa kajampa nani hamna mchango wowote kwa klabu ya Simba zaidi ya lopolopo mitandaoni.

Huu Uzi wako unafaa ukachambiwe mavi choo[emoji706][emoji706][emoji706]
 
(i) Nani kakwambia mashabiki wa Simba wanalalamika?
(ii) Simba haina mchezaji anayeitwa Patrick Phiri,
(iii) Hela za Azam za kazi gani? Mbona hao Azam wenyewe pamoja na izo hela zao wameshindwa kuchukua kombe la ligi au ASFC miaka nenda rudi?

Wewe una mchango gani Kwa Simba? Usikute ni wewe ni wale wanaoitwa kajampa nani hamna mchango wowote kwa klabu ya Simba zaidi ya lopolopo mitandaoni.

Huu Uzi wako unafaa ukachambiwe mavi choo[emoji706][emoji706][emoji706]
Usichanganye Azam Media na Azam FC mkuu.

Punguza kasiriko
 
Mbumbumbu Hawataki kusikia Ukweli wowote! Mwaka wa mikosi huu, hakuna walichofanikiwa zaidi ya kutangaza bidhaa za Mo.

We waambie Makolo usajili mpya ni Ronaldo na Thiago Silva wataruka ruka na kukanyagana!! Hamnazo kabisa na hawajijui!

Makolo wala hawajui shida ya timu yao ni nini na hawajali!! Ukishafunga Yanga tayari Simba chama kubwa! Mnyama!
 
(i) Nani kakwambia mashabiki wa Simba wanalalamika?
(ii) Simba haina mchezaji anayeitwa Patrick Phiri,
(iii) Hela za Azam za kazi gani? Mbona hao Azam wenyewe pamoja na izo hela zao wameshindwa kuchukua kombe la ligi au ASFC miaka nenda rudi?

Wewe una mchango gani Kwa Simba? Usikute ni wewe ni wale wanaoitwa kajampa nani hamna mchango wowote kwa klabu ya Simba zaidi ya lopolopo mitandaoni.

Huu Uzi wako unafaa ukachambiwe mavi choo[emoji706][emoji706][emoji706]
wacha jeuri,mmekwama mnahitaji msaada...ujeuri wakati una shida ni upumbav
 
1. Hawajui kwa nini yanga wana pesa ya usajili na Simba hawana.Hapa majibu yanahitajika

2. Matangazo yaliyojaa kwenye jezi tena maandishi makubwa ya hovyo kutangaza bidhaa za mo ,yanalipiwa bei gani?

3. Wachezaji Okra,Patrick Phiri wana tatizo gani kwa nini hawachezi?

4. Je kuna kamati ya usajili makini kweli au ni meshen town?

5. Mo anaonekana ni mlalamishi sana huku sisi tuna uhakika alitoa maelekezo wakatae pesa ya Azam ambayo yanga waliikubali. Kama anakula hasara, si wangekubali udhini wa Azam?

======

Pia soma: Maisha yanaenda kasi, kweli timu ya Simba ni yakuzomewa kutoka Mtwara hadi Dar?
Kuhusu usajili Mo alishatolea ufafanuzi kuwa alitoa fedha Ila zikatumika isivyo , mbona mnazid kumlaumu
 
(i) Nani kakwambia mashabiki wa Simba wanalalamika?
(ii) Simba haina mchezaji anayeitwa Patrick Phiri,
(iii) Hela za Azam za kazi gani? Mbona hao Azam wenyewe pamoja na izo hela zao wameshindwa kuchukua kombe la ligi au ASFC miaka nenda rudi?

Wewe una mchango gani Kwa Simba? Usikute ni wewe ni wale wanaoitwa kajampa nani hamna mchango wowote kwa klabu ya Simba zaidi ya lopolopo mitandaoni.

Huu Uzi wako unafaa ukachambiwe mavi choo[emoji706][emoji706][emoji706]
Acha ujinga akili kuwaza mavi tu kila wakati.Naamini wewe ulipo hapo ni mke wa mtu hivyo jiheshimu.

Utakuwa mpuuzi tu kuukataa ukweli ulioshuhudiwa na msemaji wa Simba kwamba wamezomewa njia nzima kutoka Mtwara.

Kuhusu jina la Patrick ni sababu ya haraka ya kuandika na ungeni shangaa kama ningeandika ngombale jina ambalo sijawahi kulisikia kwenye soka.

Mambo mengine sitakujibu maana hata hizo akili za kuelewa huna
 
Hivi kweli mdomo mbaya sana😅😅 semaji la CAF limekuwa semaji la .....
 
Acha ujinga akili kuwaza mavi tu kila wakati.Naamini wewe ulipo hapo ni mke wa mtu hivyo jiheshimu.

Utakuwa mpuuzi tu kuukataa ukweli ulioshuhudiwa na msemaji wa Simba kwamba wamezomewa njia nzima kutoka Mtwara.

Kuhusu jina la Patrick ni sababu ya haraka ya kuandika na ungeni shangaa kama ningeandika ngombale jina ambalo sijawahi kulisikia kwenye soka.

Mambo mengine sitakujibu maana hata hizo akili za kuelewa huna
[emoji706][emoji706]
 
Ila Ile ya manzoki mkutanoni ilikuwa sababu tosha kabisa ya Mangungu kupata kura 5O za wazee wenzake
 
(i) Nani kakwambia mashabiki wa Simba wanalalamika?
(ii) Simba haina mchezaji anayeitwa Patrick Phiri,
(iii) Hela za Azam za kazi gani? Mbona hao Azam wenyewe pamoja na izo hela zao wameshindwa kuchukua kombe la ligi au ASFC miaka nenda rudi?

Wewe una mchango gani Kwa Simba? Usikute ni wewe ni wale wanaoitwa kajampa nani hamna mchango wowote kwa klabu ya Simba zaidi ya lopolopo mitandaoni.

Huu Uzi wako unafaa ukachambiwe mavi choo[emoji706][emoji706][emoji706]
Haya wenye simba yao wamekuja
 
Mkuu tumekwama wapi? We unamjua moo ni tajiri no ngap hapa afirika[emoji23][emoji23][emoji23]
TATIZO SIO KUWA UTAJIRI TATIZO KUTOA HELA...HUYO TAJIRI NDO WA KULALAMIKA HASARA KILA MACHWEO...TAJIRI AU USHUBWADA
 
(i) Nani kakwambia mashabiki wa Simba wanalalamika?
(ii) Simba haina mchezaji anayeitwa Patrick Phiri,
(iii) Hela za Azam za kazi gani? Mbona hao Azam wenyewe pamoja na izo hela zao wameshindwa kuchukua kombe la ligi au ASFC miaka nenda rudi?

Wewe una mchango gani Kwa Simba? Usikute ni wewe ni wale wanaoitwa kajampa nani hamna mchango wowote kwa klabu ya Simba zaidi ya lopolopo mitandaoni.

Huu Uzi wako unafaa ukachambiwe mavi choo[emoji706][emoji706][emoji706]
Kikubwa azam kawala nyama ya nyuma na kipapatio[emoji28]
 
Back
Top Bottom