Kwa ninavyowafahamu hawa Mbumbumbu. Hapo ujue walikuwa wanasubiri sana kauli ya hii ropokaji wao. Hivyo kwa kauli hiyo tayari imewapooza kweli watalala. Lakini angewaamlishe lalaleni kwa kusimama,bado wangemsikiliza. Manara alipelekesha sana hawa. Kuna muda walikuwa wanazungusha cd za ushahidi na manara