Wachezaji ulaya wanacheza kwa kupendaMimi sikubaliani na hilo sema wachezaji wengi umri umekwenda sanaaaaa, timu za ulaya zinacheza kila kukicha mbona hawatoi sababu za kitoto hivyo? Tatizo la simba mnang'ang'ania wachezaji wale wale kila siku. Mnawaita wenye simba yao hawaguswi. Bocco kachoka, mkude, mzamiru, shabalala, tibazonkiza,onyango yaani karibu wachezaji wote umri umeenda, wenzenu wanawekeza kwa vijana nyinyi mnawekeza kwa wazee hii ndo shida yake.
Lazima aseme kweli,maana hali mbaya.Yule dogo unayemsema hata akidanganya mambo Yanaendelea upande wakeAhmed ali hana siasa sio kama yule dogo kama fido dido anataka apite njia za manara.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Sasa hata kama akiishinda Vipers ataenda wapi wakati kashadondosha point 6 o'clock!Hayo ni maneno ya hizi mechi tatu tu. Akishinda kwa Vipers, atakuja kuongea shombo na vile vicheko vyake vya kinafiki…!!!
Una umri gani?Mimi sikubaliani na hilo sema wachezaji wengi umri umekwenda sanaaaaa, timu za ulaya zinacheza kila kukicha mbona hawatoi sababu za kitoto hivyo? Tatizo la simba mnang'ang'ania wachezaji wale wale kila siku. Mnawaita wenye simba yao hawaguswi. Bocco kachoka, mkude, mzamiru, shabalala, tibazonkiza,onyango yaani karibu wachezaji wote umri umeenda, wenzenu wanawekeza kwa vijana nyinyi mnawekeza kwa wazee hii ndo shida yake.