Ahmed Ally: Tuvute Subira kuna mashine zinakuja Simba SC

Ahmed Ally: Tuvute Subira kuna mashine zinakuja Simba SC

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382

---
Akihojiwa na Mwanahabai Meneja wa Mawasiliano wa Simba ameoneana akijinadi kuhusu usajili wao watakaoufanya msimu huu.

Akielezea kwa ufupi hoja hiyo Ahmedy Ally anasema:

Bado si tunaagana kwanza, tutakapoanza kukaribishana ndiyo ntakwambia sasa huyu anayekuja anakuja kufanya kitimbi gani huyu anayekuja ana balaa gani. Kuna mashinde zinakuja hatari, kuna mchezaji wetu mmoja anakimbia kama treni za SGR, utamuona wewe vuta subira

Credit - HabariMtandaoni
 
Hahaaa mnaleta machine au wachezaji? Halafu mchezaji kuleta vitimbi ni mchezaji kweli huyo?
Mwingine anakimbia kama SGR! Hizo zama za Said Maulidi kibelenge za anakwenda...anakwenda ...anakwenda zilishapita. Sasa hivi no modern football. Tunacheza kwa mfumo. Tunakaba kwa mfumo. Angalieni usajili wenu
 
Back
Top Bottom