Ahmed Ally: Tuwape muda wachezaji wetu watafute ubora.

Ahmed Ally: Tuwape muda wachezaji wetu watafute ubora.

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Meneja wa habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally kupitia ukurasa wake wa instagram ameandika

"Pamoja na kushinda dhidi ya Tabora United lakini ukweli ni kuwa tunahitaji kuwapa muda zaidi wachezaji wetu waendelee kutafuta ubora wao

Tumesajili Wachezaji bora sana ambao wamefanya makubwa walikotoka

Katika hao wapo walioanzia juu moja kwa moja na wapo walioanzia chini iko hivyo duniani kote hasa mchezaji anapotoka timu ndogo kwenda kubwa au ligi ndogo kwenda kubwa au abapoenda kwenye timu yenye presha kubwa kama yetu

Ni jukumu letu kuwavumilia kuwatia moyo kusimama nao nyakati zote ili warejeshe kujiamini na kuupata ubora wao

Aina ya wachezaji tuliokua nao nusu yao wakiupata ubora wao basi msimu huu utakuwa mzuri kwetu Insha allah".

NB: Naona Kispika kashaona hapo hawana timu kwa wachezaji waliosajili kaamua kuwa mpole na kukiri kuwa wachezaji wametoka ligi mdogo na dhaifu pia hawana uzoefu wa mikikimikiki za ligi ya kiume kama ligi yetu.
 
Meneja wa habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally kupitia ukurasa wake wa instagram ameandika

"Pamoja na kushinda dhidi ya Tabora United lakini ukweli ni kuwa tunahitaji kuwapa muda zaidi wachezaji wetu waendelee kutafuta ubora wao

Tumesajili Wachezaji bora sana ambao wamefanya makubwa walikotoka

Katika hao wapo walioanzia juu moja kwa moja na wapo walioanzia chini iko hivyo duniani kote hasa mchezaji anapotoka timu ndogo kwenda kubwa au ligi ndogo kwenda kubwa au abapoenda kwenye timu yenye presha kubwa kama yetu

Ni jukumu letu kuwavumilia kuwatia moyo kusimama nao nyakati zote ili warejeshe kujiamini na kuupata ubora wao

Aina ya wachezaji tuliokua nao nusu yao wakiupata ubora wao basi msimu huu utakuwa mzuri kwetu Insha allah".

NB: Naona Kispika kashaona hapo hawana timu kwa wachezaji waliosajili kaamua kuwa mpole na kukiri kuwa wachezaji wametoka ligi mdogo na dhaifu pia hawana uzoefu wa mikikimikiki za ligi ya kiume kama ligi yetu.
Yanga Bingwa.
 
Anaposema "tuwape muda" anamaanisha nini? Nani wa kuwapa muda hao wachezaji?

Maana kila mwishoni mwa msimu lundo la wachezaji kimekuwa likitimuliwa, na kusajili kundi lingine! Na zoezi hilo hufanywa na wao wenyewe.
 
Utasikia YANGA wamesajili wazee. Ukiwauliza ni yupi mzee pale YANGA aliewazidi akina Mzamir ,aliewazidi akina shabalala?.
Mwakani watasajili wapya wapewe muda tena
 
Uchezaji wa mpira wa taratibu umepitwa na wakati na ndio maana Brazil anataabika sana,simba tunaambiwa ina vijana kasi yao haifanani na umri wao, angalia mchaka mchaka wa wazee wa yanga ni tofauti kabisa na hao vijana wetu
 
Pale mbele alitakiwa abaki mmoja kati ya Phiri au Baleke,ina maana hata Mukwala angepata somo kupitia hapo,ndio maana yanga walimtoa Guede akabaki Musonda na Mzize na wakaongeza Dube na Baleke
 
Uchezaji wa mpira wa taratibu umepitwa na wakati na ndio maana Brazil anataabika sana,simba tunaambiwa ina vijana kasi yao haifanani na umri wao, angalia mchaka mchaka wa wazee wa yanga ni tofauti kabisa na hao vijana wetu
Falsafa ya Gamondi
 
Moja ya matatizo yanayoikabili Simba ni huyu msemaji
 
Back
Top Bottom