Ahmed Arajiga kwanini hapewi kuchezesha mechi za Simba?

Ahmed Arajiga kwanini hapewi kuchezesha mechi za Simba?

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Arajiga ni mwamzi Bora kabisa katika nchi yetu tukubali tukatae, akiamua mchezo kila mpenda mpira Huwa anaridhika kabisa na kuona haki imetendeka

Arajiga msimu huu pekee amechezesha mechi za Yanga 6 Yanga lakini hajapewa mchezo wowote wa Simba auamuwe.

Simba wamekuwa walipewa waamzi wanaopendelea Simba hadharani na waamzi wabovu kabisa

Mfano mwamzi aliyechezesha Jana mechi ya Namungo vs Dodoma Jiji, ameamua michezo mitatu ya Simba na amefanya madudu ya kuipendelea Simba,

Jana amewapa Namungo penalty ya utata

Mwamzi aliyechezesha mechi ya Pamba Jiji na Azam ambaye aliharibu mchezo na Nina Imani atafungiwa
Amechezesha mechi 3 za Simba na huku Simba ikibebwa na kupendelewa wazi wazi

Tatu Malogo, Amina Kyando na waamuzi ambao ni Wanachama wa Simba ndo wamekuwa walipewa mechi za Simba na kuwabeba wazi

Tunaomba bodi ya ligi na kamati ya waamzi muwapangie Simba nao waamzi makini kama Arajiga, Kayoko na Heri Sasi
 
Hapo bado hapo, ndo kwanza coach Amadi maulidi kaanza kazi leo
 
Arajiga ni mwamzi Bora kabisa katika nchi yetu tukubali tukatae, akiamua mchezo kila mpenda mpira Huwa anaridhika kabisa na kuona haki imetendeka

Arajiga msimu huu pekee amechezesha mechi za Yanga 6 Yanga lakini hajapewa mchezo wowote wa Simba auamuwe.

Simba wamekuwa walipewa waamzi wanaopendelea Simba hadharani na waamzi wabovu kabisa

Mfano mwamzi aliyechezesha Jana mechi ya Namungo vs Dodoma Jiji, ameamua michezo mitatu ya Simba na amefanya madudu ya kuipendelea Simba,

Jana amewapa Namungo penalty ya utata

Mwamzi aliyechezesha mechi ya Pamba Jiji na Azam ambaye aliharibu mchezo na Nina Imani atafungiwa
Amechezesha mechi 3 za Simba na huku Simba ikibebwa na kupendelewa wazi wazi

Tatu Malogo, Amina Kyando na waamuzi ambao ni Wanachama wa Simba ndo wamekuwa walipewa mechi za Simba na kuwabeba wazi

Tunaomba bodi ya ligi na kamati ya waamzi muwapangie Simba nao waamzi makini kama Arajiga, Kayoko na Heri Sasi
Umesahau alifungiwa msimu mzima kwasababu ya kuipendelea yanga.
 
Back
Top Bottom