NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Kupitia Azam tv tar 14/4, umeonekana kwenye camera ukitaja kikosi au silaha zako kwa uoga ukiwa huna amani kabisa kwa kile ulichokua unakizungumza.
Ulitaja silaha zako ukasema kuwa unaziamini sana ambazo ni tegemezi na una amini yanga atakufa, silaha ulizozitaja ni Robertinho, saidoo ntibazonkiza na Jean baleke.
Ulisisitiza kuwa Jean baleke kawafunga sana akina yanga magoli ya tikitaka, kutokana na kauli yako hiyo ya kuwadanganya wanasimba wenzio ni dhahiri kuwa hutambui /huna statistics kuwa Jean balleke hajawahi kuifunga yanga Bali aliifunga Simba tar 19/9/2021 kwenye uwanja wa mkapa kipa akiwa aishi manula.
Ahmedy Ally Kama huna statistics /research kaa kimya siyo kuja kuwadanganya mashabiki wenu mbele ya camera, na kwa taarifa yako Jean baleke hatoweza kuifunda yanga hata goli la penati.
Ulitaja silaha zako ukasema kuwa unaziamini sana ambazo ni tegemezi na una amini yanga atakufa, silaha ulizozitaja ni Robertinho, saidoo ntibazonkiza na Jean baleke.
Ulisisitiza kuwa Jean baleke kawafunga sana akina yanga magoli ya tikitaka, kutokana na kauli yako hiyo ya kuwadanganya wanasimba wenzio ni dhahiri kuwa hutambui /huna statistics kuwa Jean balleke hajawahi kuifunga yanga Bali aliifunga Simba tar 19/9/2021 kwenye uwanja wa mkapa kipa akiwa aishi manula.
Ahmedy Ally Kama huna statistics /research kaa kimya siyo kuja kuwadanganya mashabiki wenu mbele ya camera, na kwa taarifa yako Jean baleke hatoweza kuifunda yanga hata goli la penati.