TANZIA Ahoufe, mchekeshaji aliyekuwa akijifananisha na ‘Tupac’ afariki dunia

TANZIA Ahoufe, mchekeshaji aliyekuwa akijifananisha na ‘Tupac’ afariki dunia

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
IMG_2224.jpg

Ahuofe 🇬🇭 Aliyejipatia Umaarufu Mitandaoni (Tiktok & IG) Kama Tupac Wa Ghana Amefariki Dunia Jana Jumatano Machi 29, 2023 Huko Kumasi Nchini Ghana. Taarifa Za Kifo Chake Zimethibitisha Na Rapa Kutoka Ghana #JayBahd

Sababu Ya Kifo Chake Bado Haijawekwa Wazi Lakini Kwa Mujibu Wa Ripoti Mbalimbali Tupac Wa Ghana (Ahuofe) Amefariki baada Ya Kuugua Ugonjwa Ambao Haukujulikana Kwa Kipindi Kifupi.
 
Uyo jamaa anaonekana kabisa Moshi mwingi Sana[emoji4]
 
Back
Top Bottom