Jana nilitoa taarifa ya ukatili kwa mwanafunzi wa shule ya msingi Kitefu mkoa wa Arusha. Najivunia serikali yangu mmechukua hatua, mbarrikiwe. Ila huyu mwalimu mkuu mumchunguze anatafuta aliyetoa taarifa.
Hongera Max, hongera waziri, hongera mh. Rais wetu, haki itendeke
Hongera Max, hongera waziri, hongera mh. Rais wetu, haki itendeke