Ahsante ahsante Rais wetu, ahsante Doroth Gwajima; tunajivunia serikali yetu

Ahsante ahsante Rais wetu, ahsante Doroth Gwajima; tunajivunia serikali yetu

Doslamari

New Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
4
Reaction score
1,499
Jana nilitoa taarifa ya ukatili kwa mwanafunzi wa shule ya msingi Kitefu mkoa wa Arusha. Najivunia serikali yangu mmechukua hatua, mbarrikiwe. Ila huyu mwalimu mkuu mumchunguze anatafuta aliyetoa taarifa.
Hongera Max, hongera waziri, hongera mh. Rais wetu, haki itendeke
 
Back
Top Bottom