Mwezi wa pili nilikuwa sehemu moja Mbeya....inaitwa Kiwira madukani Tukuyu huko, cement nikanunua mfuko 16,500.... Wakati mwezi huo huo Ifakara Moro nikanunua 12,500...... Moro mjini nikakuta ni 11,000....
Saizi naona Moro kila muuza cement anaweka mabango barabarani akitangaza bei yake....huyu 10,400....10,500.....10,700........10,000......naona sasa inazidi kuja chini.....mahindi na unga nao unakuja bei chini....kuna mahali panaitwa Lukobe....kuna mtu kilo moja ya unga anauza 1,500.... Sukari anauza 2,000. Naona mambo yanaanza kulegea....japo mfukoni kuna utata