Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Kiwanja unacho?Ikifika 4500 hata mm nitajenga
Navyo si vitashuka bei????Kiwanja unacho?
Haitakuja kutokeaNavyo si vitashuka bei????
Nakonde Zambia ni 7,000/= za bongo.
Ngoja ifike half ya pili ya mjombaHaitakuja kutokea
Te te te...hela itakuwepo mfukoni kweli....[emoji12] [emoji15]Ngoja ifike half ya pili ya mjomba
Viwanja vitauzwa hadi elfu 50Te te te...hela itakuwepo mfukoni kweli....[emoji12] [emoji15]
shida watakao jenga waliochuma nying kipind cha jk maana mishaara hewa, watumish hewa doo lakin sasa kwa kuishi kwenye mstali wa mshaara ni so...Kipindi hiki cha Magu ndio kipindi cha kujenga maana kila kitu kimeshuka bei
Ni elekeze duka lilipo kwa bei hiyo mkuuBukoba Simba na Twiga bei ya rejareja ni 14,500-15,000