Ahsante JamiiForum - Karibuni Dubai

sawa mkuu ila tunakuomba utuchunguzie hii ksmpuni ( mtemvu company) hawa ndugu zetu anaowaleta kuja kufanya kazi za UYAYA wanateswa kiasi gani
 
Tunashukuru kwa support yako. Maana kwa mara yakwanza tumeanzisha page ya lugha ya Kiswahili
 
sawa mkuu ila tunakuomba utuchunguzie hii ksmpuni ( mtemvu company) hawa ndugu zetu anaowaleta kuja kufanya kazi za UYAYA wanateswa kiasi gani

"Tee Bag" Kuhusu suala lako tumenakili hapa juu, kwa uhakika, sisi si watalaam la suala ya mayaya wanaoletwa huku Uarabuni - Dubai - United Arab Emirates. Lakini tuna uhakika kabisa kwamba hakuna jambo hila, na UAE ipo mstari wa mbele kutetea haki ya wafanya kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…