fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,305
- 5,355
Namshukuru Mungu leo tar 9/5 nimetimiza miaka 33 kamili wengi wamepotea kabla hawajafika huku na walikua na ndoto nyingi,wote ambao tumefika huku tukiwa na afya njema tuungane kumshukuru Mungu .Pia furaha yangu kubwa nimetimiza kigezo anachokitaka inna morata kwani ndio ilikua kigezo pekee ninachomiss cha miaka 33 minimum kwa hiyo baada ya hii thread naenda pm nikiwa kifua mbele