Hahahahah angalia mkuu usijekua hunaloh! nilikua sijaangalia ngoja nicheki upya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahhahahaha kucha zote zipo??
Hongera ndugu
Nakumbuka mwenye thread alisema lazima awe na kucha zote hahahhahahaha hatari mana nilicheka nilipousoma[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
nimefanya vingi sana mkuu,ingaa siwezi kujifananisha na yesu ila naamini mpaka yesu anaondoka alikua fundi seremala tu sidhani kama hata aliwahi kumiliki nyumba wala gari wala assets nyingine nyingine za thamani,naamini ukimfananisha na mimi kwa mafanikio ya kimaisha nitamuacha mbali sana ukiacha yale ya kiimani kama vile kufufua watu cjui kupaa mbinguni hayo yako nje ya uwezo wangu.niivyo tu mkuuSasa unalingana na Yesu alipaa na miaka 33....je wewe umefanikisha kipi? Kufikisha tu bila impact sio chochote ata tahira mnyama unaweza kufikisha tuambie umefanyanini?
S upo... nakusalimu.Hahahhahahaha kucha zote zipo??
Hongera ndugu
Me sweet 16 bana hahahavipi weye ushafikisha 18 kweli?
haha... haya bhana...Me sweet 16 bana hahaha
Hahahhaa ujue bado nasubirihaha... haya bhana...
walai nazeeka vibaya nimesahau...wacha uniambie uvunguni.Hahahhaa ujue bado nasubiri
Hahahhahahahawalai nazeeka vibaya nimesahau...wacha uniambie uvunguni.
hongera lakin wewe kila mwaka unatimizaga miaka 33 tu yaani miaka imesimamia hapo .Namshukuru Mungu leo tar 9/5 nimetimiza miaka 33 kamili wengi wamepotea kabla hawajafika huku na walikua na ndoto nyingi,wote ambao tumefika huku tukiwa na afya njema tuungane kumshukuru Mungu .Pia furaha yangu kubwa nimetimiza kigezo anachokitaka inna morata kwani ndio ilikua kigezo pekee ninachomiss cha miaka 33 minimum kwa hiyo baada ya hii thread naenda pm nikiwa kifua mbele