Ahsante sana mungu , as well as jamii forums.

Ahsante sana mungu , as well as jamii forums.

dimaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
4,174
Reaction score
5,658
Salute,


Namshukuru mungu, leo kwa mara ya kwanza nimeanza kupokea notifications kutoka jamii forums.

Hili tatizo limenitokea tokea December 2017 , leo hii saa 4:06 asubuhi nimepokea notifications ya kwanza.


Niliomba msaada sana kwa mods lakini hawakulitatua tatizo langu .


Nawasilisha.


By


Young


Dimaa.
 
Na ukipata like 10 njoo nayo hapa niamini mods wana double standard
 
Sio kuwa ulikuwa watumia an outdated version...!!
 
Back
Top Bottom