Mzozo your right.. i hope hata fina na kipanya nao watakua waliwekewa mtimanyongo sababu ya tabia yao ya kukemea maovu na uozo wa serikali hii na kwa bahati mbaya au nzuri kipindi chao kilikua kishapata wasikilizaji wengi sana..naona wazee wa kazi wakaona madogo wanataka kuwaharibia..mambo ndio yakawa ivyo mizengwe juu ya mizengwe mara mic haifanyi kazi mara sijui nini alimradi tu mazingira yao ya kazi yawe ya kukatisha tamaa..matokeo yake ndio ivyo kama tulivyoona..hatuwasikii tena.. i doubt hata hawa wasanii nao wanaogopa hivyo ivyo ....but we need to encourage them...... sijui tutafika?????!!!
ni kawaida ya hawa vijana kutoa nyimbo za namna hii, wimbo ni mzuri sana na umekuja kwa wakati muafaka.
Jinsi ya kuwaunga mkono ndo tuambiwe
AMANIGK... wewe ni yule GK wa East Coast?
hicho kibao nimekiskia leo pia katika power breakfast.jamaa wamesema maneno yaliyo tulia.
na imeonyesha kuwa nao wanamchango mzuri sana kwenye hii vita.
Na wengine nao wajitokeze tupambane mpaka kieleweke.
Hii ndio mbaya sasa...inabidi tuwaweke na mdj wetu sasa maana ma dj wa kibongo nao mapenzi mengi hawajui hata mambo yanavyokwenda kwenye nchi yao na hata hawajisumbui kutaka kujua wao ni mapenzi na starehe ..hii ndio shida...sipati picha Clouds fm dj anakua Jmushi na East afrika fm dj anakua Mzozo wa mizozo nafikiri hapo tutafika tunakokutaka
Kusaga ndiye OWNER na yeye aongee na vijana wake kwasababu tunamwambia ukweli kuwa huu ni wakati muhimu kabisa kama miaka ile ya 1950's na 1960's.
Wakati ambako kuna msuguano mbaya kati yetu na sera za IMPERIALISM.
Hivyo tuweke balance na ujumbe ndo huo.
si umeona sasa....mizengwe ishaanza..jana sijausikia tena siku nzima toka asubuhi..nilikua na earphones siku nzima na simu yangu lakini u cant beleive such a good song wanaibania wanapiga nyimbo ya matonya eti inaitwa Taxi Bubu'' ni ya mapenzi hiyo nafikiri ndio wanaifanyia promo sasa ivi....hivi hawa jamaa sio watanzania nini??????
si umeona sasa....mizengwe ishaanza..jana sijausikia tena siku nzima toka asubuhi..nilikua na earphones siku nzima na simu yangu lakini u cant beleive such a good song wanaibania wanapiga nyimbo ya matonya eti inaitwa Taxi Bubu'' ni ya mapenzi hiyo nafikiri ndio wanaifanyia promo sasa ivi....hivi hawa jamaa sio watanzania nini??????
mmmh!! mbona you suond like Jmushi!! are you the same person....................