Ahukumiwa kwenda jela miaka 6 kwa kumuibia Mzee Mwinyi.

Ahukumiwa kwenda jela miaka 6 kwa kumuibia Mzee Mwinyi.

Kazi sana kuna wakati binadamu tunasahau nafasi tunazopewa na kuaminiwa!tunamjua Mzee Mwinyi kwa hekina na ubinadamu,asinegweza kumsingizia kabisa huyo kijana!acha ale matunda ya kutokuwa mwaminifu!nasi tujifunze kula na wanaotuamini!
 
Kazi sana kuna wakati binadamu tunasahau nafasi tunazopewa na kuaminiwa!tunamjua Mzee Mwinyi kwa hekina na ubinadamu,asinegweza kumsingizia kabisa huyo kijana!acha ale matunda ya kutokuwa mwaminifu!nasi tujifunze kula na wanaotuamini!
Mzee Mwinyi inaonekana ana ubinadamu wa hali ya juu ila watu wanatumia ubinadamu huo kumdhulumu.hebu vuta picha anampa mtu tenda ya hela nyingi halafu anamwamini wala hawaandikishani na hamfuatilii nyuma lakini jamaa badala ashukuru kwa wema huo anamdhulumu mzee wa watu.
 
Huyu mzee namheshimu sana ila nilisikitika kuona kwamba nae yumo kwenye list ya vigogo waliopatiwa viwanja na manispaa ya Temeke huku wananchi wengi ambao hawana kbs wakikosa na fedha zao kuliwa! Ingekuwa busara zaidi hawa wazee wakakubali kwamba tayari wako better off kuliko watu wengine kwenye suala la mali hivyo kuacha tamaa za kujilimbikizia!
 
Huyu mzee namheshimu sana ila nilisikitika kuona kwamba nae yumo kwenye list ya vigogo waliopatiwa viwanja na manispaa ya Temeke huku wananchi wengi ambao hawana kbs wakikosa na fedha zao kuliwa! Ingekuwa busara zaidi hawa wazee wakakubali kwamba tayari wako better off kuliko watu wengine kwenye suala la mali hivyo kuacha tamaa za kujilimbikizia!
suala ni ikiwa wanadamu wana tabia ya kutosheka?
 
Tusisahau na kodi ya hizo nyumba anazofanyia biashara Mzee Mwinyi,pia Mzee mwinyi angemsamehe tu huyo jamaa kwani kwake hiyo 37 milioni ni tone la maji kwenye bahari
 
Dah, jamaa kaaribu sana yaani kuwa na mahusiano mazuri na mzee Ruksa ni neema kubwa sana ambayo kila mtu anatamani.
 
tamaaa mbele mauti nyuma acha jamaaa aende segerea
 
Back
Top Bottom