MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Hivi tumerogwa!,
Toka game ya deby uwanja ni mchafu hadi leo ni hali mbaya! mbaya! mbaya! We can't manage even such tiny thing? Usafi kweli?
Tukubaliane hii nchi yetu kubadili fikra na utendaji wa watu wetu inabidi uwe kichaa kidogo. Tunatia aibu mno tena kwa mambo ambayo hata tungefungia mbuzi mule mwaka wangejiongoza kiusafi.
Inatia hasira sana! Kila jambo mpaka tusukumwe , tufokeane, tuzalilishane! Waziri apige simu! Bagladesh!
Kama vipi huo uwanja mpeni Bakhresa auendeshe kibiashara kuliko hali hii ya sasa. Ni dhahiri public entity zilishafeli kwenye biashara na hazina muono wa kibiashara.
Aibu! Sana!
Toka game ya deby uwanja ni mchafu hadi leo ni hali mbaya! mbaya! mbaya! We can't manage even such tiny thing? Usafi kweli?
Tukubaliane hii nchi yetu kubadili fikra na utendaji wa watu wetu inabidi uwe kichaa kidogo. Tunatia aibu mno tena kwa mambo ambayo hata tungefungia mbuzi mule mwaka wangejiongoza kiusafi.
Inatia hasira sana! Kila jambo mpaka tusukumwe , tufokeane, tuzalilishane! Waziri apige simu! Bagladesh!
Kama vipi huo uwanja mpeni Bakhresa auendeshe kibiashara kuliko hali hii ya sasa. Ni dhahiri public entity zilishafeli kwenye biashara na hazina muono wa kibiashara.
Aibu! Sana!