AIBU AIBU: SENZO , MANARA WAPOST PICHA ZA MWAKA JANA KUDANGANYA

Dogo unateseka sana. Punguza wivu wa kike.
wivu wa kiume ukoje dada yangu? ambia zeruzeru promo za siku hizi ni kutumia spika za dawa ya mende na kupanda juu ya malorry juani ukitokwa na jasho kama ngozi yako ina ulemavu omba usaidiwe usije ukayeyuka juani kama konokono
 
Tz bado sana, yaani mpaka leo hii watu mnabishania idadi ya wahudhuriaji viwanjani kwa picha wakati takwimu zinapaswa kujieleza zenyewe?
Ina maana TFF huwa hawajui idadi ya watu walioingia uwanjani au hawatoi hizo taarifa kwa umma mpaka tusubiri mashabiki wa mtandaoni kutuambia kwa blah blah au picha?

Yaani mpaka Tiketi za kieletroniki zimewekwa, lakini hakuna taarifa ya idadi ya wahudhuriaji?
Tutajuaje mapato halisi, makato na kodi?
 
Ushabiki wa Yanga na Simba unawatesa sana mashabiki wa timu hizo.Baada ya kutoka suluhu sasa wanashindana ni mashabiki wa timu gani walijaza uwanja
 
Ushabiki wa Yanga na Simba unawatesa sana mashabiki wa timu hizo.Baada ya kutoka suluhu sasa wanashindana ni mashabiki wa timu gani walijaza uwanja
hapana issue siyo kujaza uwanja issue ni CEO wa team na msemaji sijui chawa ,mropokaji wa team kutumia pics za mwaka jana kudanganya, shame on them
 
sasa unaweza kufuta huu upumbavu wako
 
wivu wa kiume ukoje dada yangu? ambia zeruzeru promo za siku hizi ni kutumia spika za dawa ya mende na kupanda juu ya malorry juani ukitokwa na jasho kama ngozi yako ina ulemavu omba usaidiwe usije ukayeyuka juani kama konokono
Tumia huu mda kufanya mambo yako vitu vingine unajitesa bure havina umuhimu wowote
 
Haya tuoneshe hao zaidi ya theluthi mbili kwenye hii picha halisi

 
Mmmh, nilikuwa sijaielewa post ya Shaffih Dauda mchana. Kumbe lilikuwa ni dongo kuwa spika za Koffi Olomide hazikuwapo mechi ya jana! 😂
 
Mautopolo Manara keshayafanya misukule yake anayageuzageuza kama anavyotaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…