Elections 2010 Aibu!!! Dk Bilal asema kusomesha bure ni ndoto za mchana

Kwani dokta bilal ni wachama gani?
Hawa sisim wanamatatizo gani si wapige sera zao kazi kurekebisha za wenzao tuuu mbona wao wanaahadi kibao na hata moja hawataweza kutekeleza si walikuwepo na bado wapo madarakani hawa!??????

Nadhani yuko CCM, ila najua akishapata madaraka tu atabadilika na kuwa "CUF ndani ya CCM", CUF ile ya Zanzibar, siyo ya huku kwetu Bara
 
Huo ndio msimamo wa chama CCM kisichokuwa na jipya...just astray...Just like a stray bullet that can land on anything
 
Mimi nashangaa sana kuna watu ambao wanaamini kuwa kama jambo fulani hawezi kulifanya au ni gumu kwake kulifanya,basi huzani jambo hilo ni gumu kufanywa na kila mtu na hujitahidi kuaminisha wengine kuwa jambo hilo haliweze kufanyika!Haya ni mawazo mgando.Kuna watu siku za nyuma walikuwa wanaamini haitakuja kuwezekana kwenda mwezini,lakini mbona watu walifika mwezini?
 
Very pure and simple, hivi mnamwelewa hata Bilal anachongea, kama anaongelea akiwa usingizini, hajui nyakati, pointless, mindless, sijui Dr gani hawa, watu wamemchoka, sijui anaota, anaimba, hajui jinsi watu walivyomkinai, mwaka huu CCM wamechemsha, nikija kwa Makamba huyu ndiyo jackass, CCM bye byeeeeeeeeeeee, CHANGE IS COMING SOON, PIPO PAWAAAAAAAAAAAA wenyewe wanajua



 
Nimemuona sehemu eti amehudhuria maziko huko Muheza yaani wanapotaka kura bwana wanajishusha kweli ngoja wapate hata huo mkusanyiko wa msiba ungeweza kutawanywa watu wakamsikilize makamu wa Rais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…