Aibu gani uliishinda, kiasi sasa unajiona jasiri kupambana na lolote litakalotokea?

Akijisikia proud anavyochungwa kwa ujinga anaoufanya atakua ni taahira kichwani kwa 100%.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka kwamba haya ya kuchungwa yanamkuta akiwa tayari ashadumbukia katika hiyo weakness kitaamboo sio kwamba aliamua kuwa hivyo ili awe proud of, sijui kama umenielewa mkuu!
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are very right bro,serikali ikipoteza muelekeo everything falls apart.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hongera sn kwa namna unavoihandle situation ya mzee wako. Najua fedheha huwa kali zaidi pale inapokuja toka kwa mtu ambaye unatarajia akuhuheshimishe.

On the other hand, naweza kuona ni jinsi gani hili jambo limekufanya uwe wise hata kwa mambo mengine.

Trust me,hii inakuandaa vema kuwa mke na mama bora kwa familia yako soon. Kila jambo huja kwa sababu,who knows...labda hiyo imekuwa ni njia ya kukuandaa na kukuimarisha, keep it up princess ariana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukio la kuniabisha ambalo sitakisahau ni pale nilipokuwa ninaishi kwa baba mdogo aliachana na mke wake baada ya wiki moja akavuta mwanamke mwingine ndani

Yaani ndani ya wiki moja tu dah


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sasa mkuu wewe hapo uliabika na nini?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu yule pale alikuwa ni kama mzazi just imagine ndani ya wiki ile ni aibu kwa familia

Sema tu ndo vile now tunaishi kwa jamii ambayo morality ipo chini kila kitu tunaona sawa that ata wewe unaona ni kitu cha kawaida sana kubadili wapenzi kama nguo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…