njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Kama mnafanya hivi baada ya kupewa bahasha za khaki nitawasamehe kidogo mana mnajua asilimia kubwa ya wadanganyika ni vilaza basi poa tu ila kama mwandishi na mhariri wa mwanaspoti ni vilaza wa kiwango hiki basi GOD HAVE MERCY ON YOU
JAMANI AFC LEOPARDS YA CONGO BRAZAVILLE ILIPOCHUKUA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA KOCHA ALIKUWA JOSEPH OMOG RAIA WA CAMEROON ALIYEWAHI KUFUNDISHA AZAM NA SIMBA HUYU MWARABU WA YANGA ALIKUWA TECHNICAL DIRECTOR..GET YOUR FACTS RIGHT IDIOTS,IMBECILES WAANDISHI VILAZA MAKANJANJA
www.mwanaspoti.co.tz
WABABE AFRIKA
Hapa Gomes amezidiwa kete kwani mwenzake Nabi amewahi kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika akiwa na AC Leopards ya Congo mwaka 2012.
Lakini hajaishia hapo tu kwani amewahi kuiongoza Al Hilal kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka 2015 na amewahi kuiongoza DC Motema Pembe kuingia hatua hiyo katika Kombe la Shirikisho Afrika mwaka 2011.
Kwa upande wa Gomes, mafanikio makubwa kwake katika mashindano ya klabu Afrika yalikuwa ni kuiongoza Coton Sports ya Cameroon kufika nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika mwaka 2014.
Pia msimu wa 2019/2020 aliifikisha Ismaily ya Misri katika hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Uarabuni na msimu huu kaiongoza Simba kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
JAMANI AFC LEOPARDS YA CONGO BRAZAVILLE ILIPOCHUKUA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA KOCHA ALIKUWA JOSEPH OMOG RAIA WA CAMEROON ALIYEWAHI KUFUNDISHA AZAM NA SIMBA HUYU MWARABU WA YANGA ALIKUWA TECHNICAL DIRECTOR..GET YOUR FACTS RIGHT IDIOTS,IMBECILES WAANDISHI VILAZA MAKANJANJA
Gomes v Nabi kazi ipo!
MABOSI wa Yanga wajanja sana, wamechungulia namna mambo yao yalivyo kulinganisha na watani wao, Simba na fasta wakajiongeza wakiamua kubadili gia hewani kwa kushusha kocha mpya.
WABABE AFRIKA
Hapa Gomes amezidiwa kete kwani mwenzake Nabi amewahi kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika akiwa na AC Leopards ya Congo mwaka 2012.
Lakini hajaishia hapo tu kwani amewahi kuiongoza Al Hilal kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka 2015 na amewahi kuiongoza DC Motema Pembe kuingia hatua hiyo katika Kombe la Shirikisho Afrika mwaka 2011.
Kwa upande wa Gomes, mafanikio makubwa kwake katika mashindano ya klabu Afrika yalikuwa ni kuiongoza Coton Sports ya Cameroon kufika nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika mwaka 2014.
Pia msimu wa 2019/2020 aliifikisha Ismaily ya Misri katika hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Uarabuni na msimu huu kaiongoza Simba kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.