kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,421
- 18,760
Jana likuwa siku ya kwanza kwa halimashauri za mkoa wa Dar es salaam kujadili katiba mpya.
wilaya ya kinondoni wajumbe walijadili katiba nje ya uwanja huku mvua ikinyesha.
Awali waliambiwa kuwa watafanyia TRAVERTINE lakini wenye hotel wakapishana na Halimashauri juu ya Chakula, halimashauri walikataa kununua chakula hapo hotelini wao wakasema wana mpishi wao.
Wajumbe wakagoma kujadili mpaka pale walipoombwa kwa MASLAHI YA TAIFA.
MY TAKE:
je Halimashauri haikulijua hili suala mapema au dharau zao?
wilaya ya kinondoni wajumbe walijadili katiba nje ya uwanja huku mvua ikinyesha.
Awali waliambiwa kuwa watafanyia TRAVERTINE lakini wenye hotel wakapishana na Halimashauri juu ya Chakula, halimashauri walikataa kununua chakula hapo hotelini wao wakasema wana mpishi wao.
Wajumbe wakagoma kujadili mpaka pale walipoombwa kwa MASLAHI YA TAIFA.
MY TAKE:
je Halimashauri haikulijua hili suala mapema au dharau zao?