Hamuwezi kuamini nikisema hospitali ya mkoa wa Arusha, Mount Meru hospital haina Kipimo cha endoscope inakulazimu mgonjwa aende KCMC AU SELIAN Hospital hii ni aibu kubwa sana kwa wizara ya afya
Hamuwezi kuamini nikisema hospitali ya mkoa wa Arusha, Mount Meru hospital haina Kipimo cha endoscope inakulazimu mgonjwa aende KCMC AU SELIAN Hospital hii ni aibu kubwa sana kwa wizara ya afya
mbona kawaida sana kwa nchi yetu...endoscopy ni kipimo specialized sana kuna vingine basic kabisa vinakosekana hata huko unapoambiwa uende. chezea wanasiasa wewe