Aibu kubwa kwa CCM na Vibaraka wao: Post za Kigogo kuhusu CHADEMA zadoda kiwango cha kusikitisha

Aibu kubwa kwa CCM na Vibaraka wao: Post za Kigogo kuhusu CHADEMA zadoda kiwango cha kusikitisha

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Ikiwa ni ishara kuwa hila zote za CCM na vibaraka dhidi ya CHADEMA zinapuuzwa na Watanzania, post za yule mpambanaji zamani aliyegeuka kibaraka wa CCM na Mwigulu Nchemba (Kigogo wa Twitter) zimeanza kudharauliwa na Watanzania kwa kiwango cha kutisha.

Masaa 3 yaliyopita alipost uchafu ulioandikwa na gazeti ya Mwananchi kuhusu CHADEMA na Tundu Lissu. Cha kufurahisha kwa masaa 3 post hiyo imepata like 2 tu😂😂😂😂

Cha kufurahisha zaidi uchunguzi wangu umeonesha kuwa post za kibaraka huyu wa CCM juu ya CHADEMA anayesemwa kuwekwa kwenye payroll ya Waziri wa sasa wa fedha anayemchotea mahera hapo hazina zimekuwa zikipuuzwa na Watanzania waliopo Twitter kwa kiwango cha kutisha.

Hongereni Watanzania kwa kuonesha ukomavu wa akili kwa kuzipuuza propaganda mfu za CCM na vibaraka wao dhidi ya CHADEMA.

Screenshot_20250220-110826_X.jpg
Screenshot_20250220-110826_X.jpg
 
Sio Kila kitu ukikiona lazima u-Like na Comment huoni zaidi ya watumiaji 1.3K wameview.
Unafananisha View na Like?

Nenda page ya Mwananchi soma post kuhusu hiyo habari, angalia ina views ngapi alafu soma comments za watanzania uone mwenyewe namna upuuzi wa CCM na vibaraka wao unavyodharauliwa na watz
 
Sio Kila kitu ukikiona lazima u-Like na Comment huoni zaidi ya watumiaji 1.3K wameview.

Si ndo maana ya kuupuzwa au? Unaview na kudharau au huelewi somo pia? Kwani kila unachoview unakifagilia? Utajuaje ni upuuzi bila kuuona?
 
Ikiwa ni ishara kuwa hila zote za CCM na vibaraka dhidi ya CHADEMA zinapuuzwa na Watanzania, post za yule mpambanaji zamani aliyegeuka kibaraka wa CCM na Mwigulu Nchemba (Kigogo wa Twitter) zimeanza kudharauliwa na Watanzania kwa kiwango cha kutisha.

Masaa 3 yaliyopita alipost uchafu ulioandikwa na gazeti ya Mwananchi kuhusu CHADEMA na Tundu Lissu. Cha kufurahisha kwa masaa 3 post hiyo imepata like 2 tu😂😂😂😂

Cha kufurahisha zaidi uchunguzi wangu umeonesha kuwa post za kibaraka huyu wa CCM juu ya CHADEMA anayesemwa kuwekwa kwenye payroll ya Waziri wa sasa wa fedha anayemchotea mahera hapo hazina zimekuwa zikipuuzwa na Watanzania waliopo Twitter kwa kiwango cha kutisha.

Hongereni Watanzania kwa kuonesha ukomavu wa akili kwa kuzipuuza propaganda mfu za CCM na vibaraka wao dhidi ya CHADEMA.

View attachment 3242663View attachment 3242663
Kigogo alikuwa kinyume na Magufuli. Alivyoondoka magu na yeye upepo umekata.
 
Hiyo ni tweeter (x) watumiaji wengi wa mtandao.huo sio wapiga Kura .. wapiga Kura wapo mtaani ambao asilimia kubwa hawana access ya kuona Wala hawajui kutumia tweeter (x)

Haina madhara yeyote kwa CCM.

CCM Ina mabalozi Kila mtaa, Ina jumuiya za wanachama wao wanazotumia kufikisha habari Hadi kwenye Shina n.k hao wengi wao hawajui hata kutumia Whatsapp na Twitter ila Ndio wanaitanya CCM izidi kung'aa mtandaoni ni sehemu ndogo tu ya kusambaza propaganda hasa kwa Chama pendwa CCM.




Unafananisha View na Like?

Nenda page ya Mwananchi soma post kuhusu hiyo habari, angalia ina views ngapi alafu soma comments za watanzania uone mwenyewe namna upuuzi wa CCM na vibaraka wao unavyodharauliwa na watz
 
Hiyo ni tweeter (x) watumiaji wengi wa mtandao.huo sio wapiga Kura .. wapiga Kura wapo mtaani ambao asilimia kubwa hawana access ya kuona Wala hawajui kutumia tweeter (x)

Haina madhara yeyote kwa CCM.

CCM Ina mabalozi Kila mtaa, Ina jumuiya za wanachama wao wanazotumia kufikisha habari Hadi kwenye Shina n.k hao wengi wao hawajui hata kutumia Whatsapp na Twitter ila Ndio wanaitanya CCM izidi kung'aa mtandaoni ni sehemu ndogo tu ya kusambaza propaganda hasa kwa Chama pendwa CCM.




Unafananisha View na Like?

Nenda page ya Mwananchi soma post kuhusu hiyo habari, angalia ina views ngapi alafu soma comments za watanzania uone mwenyewe namna upuuzi wa CCM na vibaraka wao unavyodharauliwa na watz
 
Sio Kila kitu ukikiona lazima u-Like na Comment huoni zaidi ya watumiaji 1.3K wameview.
Halafu kitu ambacho mtoa post ni kwamba sio kila mtu anashoboka ku like ili ionekane ujumbe umefika. Yanayohusu Chadema na Lissu yanapata likes kibao. Lakini, wakiambiwa waandamane hawaonekani! Ahahahahaha!!!
 
Back
Top Bottom