Let's get our politics right first guys otherwise tutaendelea kupiga kelele kila siku bila mafanikio watawala wetu hawana adabu kwetu kwa vile wanajua hatuwezi kuwafanya kitu ndo maana kila Jambazi/Mwizi iwe ni Kampuni/mtu binafsi so long as ana hela za kuwahonga viongozi wetu then atafanya atakalo kwenye hii nchi,Hii nchi haina viongozi