ShaKimpunda
Member
- May 11, 2017
- 28
- 12
Nilifikiri vijana kama Barnabas wameshafunguka kimaisha na has a kuhusu fashion. Nilichokiona kama hakikufanywa kwa makusudi basi ni ushamba wa hali ya juu kwa B boy. Kavaa kitop cha kike, au ni macho yangu? Mwenyewe kajiachiaje! Hana hata habari. Pole take.