ShaKimpunda
Member
- May 11, 2017
- 28
- 12
Hadi mishedede wanashea....Ndo hali halisi hiyo, siku hizi Vijana wa Kike na Kiume wanashare mambo mengi ikiwemo Mavazi, Vipodozi hadi Dressing Table!
Ha a h a a.., Mkuu hilo umemaliza kazi!Hadi mishedede wanashea....