Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Wanaweka madawa, yapi??? jibu unalo wewe 🙂 🙂
Mmmh hatari mambo kama hayo ukiwa karibu karibu unaweza ukatolewa kafara,hapo sijui maji ya maiti gani yarabi?
Kama ubavyoona kwenye video hadi mropokaji kashiriki hili zoezi, wachezaji wa mikia wanaingia chumba ambacho hakijapuliziwa ila wapinzani wataingia kwenye chumba kilichopuliziwa.
Ikumbukwe As Vita Hao waligoma kuingia vyumbani kwa ajili ya hicho unachokiona, wameumbuka mambo hadharan, Club zote tatu as vita, al ahly na mazembe waliifunglia kesi ya uhuni huo.
Hii dawa ikiingia mwilini hata iwe club ya al ahly aliekupiga khamsa ugenini, nyumbani unaweza kumpa nae khamsa ila kwa vile wachezaji ni babu zetu wanajipigia mbili au moja