Aibu: Mpinzani wa Trump kudhani anagombea ubunge

Aibu: Mpinzani wa Trump kudhani anagombea ubunge

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264


Sio mara ya kwanza, sio kituko tena bali ni tatizo kubwa.

Ni dhahiri kabisa kitu pekee alichobeba ni mdomo tu huku akili ikiwa imelala

Hali take ya afya ni dgahiri kabisa hata miujiza ikitokea akashinda basi raisi atakuwa ni yule mwenye rimoti.

Kutumikia kwake serikali kwa muda wa miaka 47 ni kigezo tosha kwa kupumzishwa kwa nia njema ili ajikite zaidi kwenye matibabu
 
To honest trump ni better kuliko biden sema upepo tu wa kisiasa na kutokupendwa kwa trump sababu ya shombo zake ndo maana biden anaonekana ana afadhal lakin hamna kitu apo
 
To honest trump ni better kuliko biden sema upepo tu wa kisiasa na kutokupendwa kwa trump sababu ya shombo zake ndo maana biden anaonekana ana afadhal lakin hamna kitu apo
Trump kwa sisi tunaochambuaga mawe na mchele wa mdeia, tunajua ndiye raisi bora yupo tatu bora tangu marekani ipate uhuru.

Hata Obama alishindwa kuwasaidia wamarekani weusi aliishia kupiga picha tu na kina Jay Z utadhani picha ndi=o zingetatua matatizo.

Sote tunajua jela za marekani zimejazwa na wamarekani weusi na trump kalitatua hili, Sote tunajua ajira zilikuwa ngumu sana kwa weusi na Trump akatatua hili, ila tu hutakuja kusikia cnn wanasifia hivi vitu.

Trump kazuia maharamia takribani elf 3 hivi wiki hii waliotoka honduras ila media kimya, trump kawa nominee kwa mara ya tatu kwa tuza za noble peace prize ila media zipo kimya....Kumuelewa Trump yupo vizuri ni inabidi uwe critical sana lakini ukifatilia media hizi utalishwa sana Pumba ila uzuri ni kwamba wamarekani wengi na wachache kama mimi tunajua kuchuja habari za media

TRUMP 2020
 
Basi Hapo umekaa kijiweni kuchambua siasa za marekani ushajikuta mange kimambi...hiyo nguvu tumia kutafuta pesa kijana
 
Basi Hapo umekaa kijiweni kuchambua siasa za marekani ushajikuta mange kimambi...hiyo nguvu tumia kutafuta pesa kijana
Mkuu usiingilie majukwaa usiyoyajua na kuanza kujudge waty utafkiri unawajua, Kama umekosea njia nenda jukwaa unalolitaka maana humu ni dhahiri wewe sio mlengwa
 
Mimi nilishasemaga kwamba nahis wakubwa huwa wanachezaga na akili za watu, nahis wanapangaga tu kwamba kwa sasa rais awe nani ila wanaweka politics, nijuavyo mm Dems wanakuaga na candidates wengi na wazuri zaid ya Rep, sasa yaan tuseme huu mwaka 2020 walikosa mtu kabisa mpaka kuamua kumuweka Biden? Kama sio wanataka njia iwe nyeupe ya Trump
 
Mimi nilishasemaga kwamba nahis wakubwa huwa wanachezaga na akili za watu, nahis wanapangaga tu kwamba kwa sasa rais awe nani ila wanaweka politics, nijuavyo mm Dems wanakuaga na candidates wengi na wazuri zaid ya Rep, sasa yaan tuseme huu mwaka 2020 walikosa mtu kabisa mpaka kuamua kumuweka Biden? Kama sio wanataka njia iwe nyeupe ya Trump
Hakuna Democrat alie na akili timamu atataka kushindana na Trump kwa sasa maana atasgindwa tu, Wengi wanasubiri 2024 huko....Kwa saizi labda ni hawa wagonjwa wa akili pekee ndio wamepewa nafasi
 


Sio mara ya kwanza, sio kituko tena bali ni tatizo kubwa.

Ni dhahiri kabisa kitu pekee alichobeba ni mdomo tu huku akili ikiwa imelala

Hali take ya afya ni dgahiri kabisa hata miujiza ikitokea akashinda basi raisi atakuwa ni yule mwenye rimoti.

Kutumikia kwake serikali kwa muda wa miaka 47 ni kigezo tosha kwa kupumzishwa kwa nia njema ili ajikite zaidi kwenye matibabu

Hi isijekuwa Kama zile clip zinazotengenezwaga kule Lumumba kuhusu wapanzani zikiwa zimekatwa katwa. Labda utupatie hotuba yake nzima ndo tunaweza kukuamini
 
Hi isijekuwa Kama zile clip zinazotengenezwaga kule Lumumba kuhusu wapanzani zikiwa zimekatwa katwa. Labda utupatie hotuba yake nzima ndo tunaweza kukuamini
Mkuu kila kitu kipo nyeupe na nyeusi hapo, hakuna cha kuongezwa wala kupunguzwa...Na nikukumbushe tu "NI MARA YA PILI"
 
Duh! Hata wazungu kumbe wanalogana..
Wapambe wa DJ Trump "wameshamtengeneza" huyu jamaa!!
 
Back
Top Bottom