Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,837
Mpira wa miguu umetushinda Tanzania.Inakuwaje timu ya Taifa inaingia uwanjani kucheza mechi huku Jezi waliyovaa ina tangazo la biashara (Kilimanjaro beer).
Watangazaji wa DSTV walikuwa wanatucheka ni aibu. Viongozi wa mpira wawajibike.Raisi Magufuli kuna vilaza wanalitia aibu Taifa Kila kukicha tunaomba fanya kuwatembelea bila ya taarifa
Watangazaji wa DSTV walikuwa wanatucheka ni aibu. Viongozi wa mpira wawajibike.Raisi Magufuli kuna vilaza wanalitia aibu Taifa Kila kukicha tunaomba fanya kuwatembelea bila ya taarifa