...hao k/njaro si ndio wadhamini au?!, yani mapesa yao mnayataka halafu kuwatangaza hamtaki?!
Hao DSTV wacha wajichekeleshe tu, hawajielewi!
Kuna tatizo gani kwani hapo?
Au unamaanisha jezi ziliandikwa beer badala ya bear? Otherwise sijakusoma.
...hao k/njaro si ndio wadhamini au?!, yani mapesa yao mnayataka halafu kuwatangaza hamtaki?!
Hao DSTV wacha wajichekeleshe tu, hawajielewi!
We uliona wapi jezi za timu ya taifa ina nembo ya mdhanimi? kumbe wengi hamjui taratibu daah
Jezi ya taifa lolote ukitoa nembo ya chama cha soka na nembo ya mzalisha jezi hizo mfano nike, adidas au puma. haipaswi kuwa na nembo ya mdhamini yoyote labda jezi za mazoezi
Mkuu, mbona wapo wengi tu nchi hii? Tuna safari ndefu na ngumu kufikia mafanikio. Mungu atuhurumie.We uliona wapi jezi za timu ya taifa ina nembo ya mdhanimi? kumbe wengi hamjui taratibu daah
Mkuu, jezi ya timu ya taifa ina heshima yake mkuu. Lakini kwa kuwa wanye AKILI wameisha tuona ni ZUZU basi ndo hivo tena.Kwan haya mashindano yanatofauti gani na ndondo? Kilimanjaro wapo sahihi tuu sidhan kama CAF wanayatambua!
Wewe ndo hujielewi maana hujui taratibu zikoje
Mkuu ni wengi hawajui haya mambo. Wafundishe kwa upole.