Aibu: RFA wamejiunga na DW redio ambayo inatangaza kwa lugha ya ajabu

Aibu: RFA wamejiunga na DW redio ambayo inatangaza kwa lugha ya ajabu

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Sasa hivi ni saa moja usiku na dakika 5 , kwa muda wa dakika tano inaoenakana RFA studio hakuna mtu kuna DW lugha gani sijui kifaransa au kipashtun kiko hewani and nobody cares

Its a shame Diallo kafikia hatua hii
 
Mara hiyi umeleta uzii [emoji23][emoji23][emoji23] ni muingiliano tu wa matangazo kama yule aliye gombea uspika ambae kasahau hadi mwaka wake wa kuzaliwa 21,,,,,27 ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzi ufutwe server zimejaa na mm nataka nipost uzi wa kimataifa sasa nafasi imejaziwa na hii post

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi ni saa moja usiku na dakika 5 , kwa muda wa dakika tano inaoenakana RFA studio hakuna mtu kuna DW lugha gani sijui kifaransa au kipashtun kiko hewani and nobody cares

Its a shame Diallo kafikia hatua hii
Ile radio kwa Sasa ina watangazaj wasiozid watatu...
 
Alisha filisiwa na faili Liko kwa Rais ngedere huyo we sikiliza kizaramo hicho
 
Nimesikia nikafikiri labd watangazaji wa zamu wamelala wakajisahu kubadilisha baada ya dw kuisha😂😂😂
 
Wanaongea kiuturuki. Mbona wabongo wengi wanajua kituruki, wewe tu. 🤣🤣🤣
Aisee hata mimi nashangaa wabongo kituruki lugha inashabiana kabisa nakibongo. Yani mtangazaji huyo alivyoanza tu Nengla Ndangla ndani ya tumbo eeeh
 
Mara hiyi umeleta uzii [emoji23][emoji23][emoji23] ni muingiliano tu wa matangazo kama yule aliye gombea uspika ambae kasahau hadi mwaka wake wa kuzaliwa 21,,,,,27 ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzi ufutwe server zimejaa na mm nataka nipost uzi wa kimataifa sasa nafasi imejaziwa na hii post

Sent using Jamii Forums mobile app
asubuhi hadi usiku wambura mtani anatangaza asilimia 80 ya vipindi , dah hawa jamaa wameporomoka sana
 
Ile radio kwa Sasa ina watangazaj wasiozid watatu...
Sio kweli nina marafiki zangu zaidi ya nane ni watangazaji pale na hata hivyo hiyo sio kazi yao.

Kuna mafundi mitambo wanaitwa TX operator kama sijakosea hiyo ndio kazi yao na kwa pale Sahara ni wajuzi sana labda wawe wamechukuliwa sana na Uhai namjua fundi mmoja wa mitambo kwa sasa yuko Uhai media
 
Sasa hivi ni saa moja usiku na dakika 5 , kwa muda wa dakika tano inaoenakana RFA studio hakuna mtu kuna DW lugha gani sijui kifaransa au kipashtun kiko hewani and nobody cares

Its a shame Diallo kafikia hatua hii
hizo ni redio washirika zake, yeye ana mitambo na anatafuta content na DW wanatafuta pa kuweka content zao, ni biashara hapo, hafanyi bure kuna kitu RFA inapata, so wanaoelewa sijui ndio kituruki etc nao wanapata habari zao. Muda huo wewe sio target audience, rudi tena kusikiliza baadae
 
Back
Top Bottom